Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

PINDA agungua mkutano wa nne wa mfuko wa PSPF – Dodoma

$
0
0

PG4A1227

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Nne wa PSPF  baada   ya kufangua mkutano huo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma  Februari  18, 2015.

PG4A1225

PG4A1153

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Tuzo  Kaimu Mkurugenzi  Msaidizi  wa Rasirimaliwatu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ernest Maalugu, ikiwa ni heshima kwa wizara  hiyo kutokana na umakini wa hali ya juu katika kuwasilisha makto ya michango ya watumishi  wake kwa Mfuko wa PSPF na utoaji wa taarifa sahihi na kwa wakati za watumishi wake kwa mfuko huo.. Makabidhiano hayo yalifanyika wakati Waziri Mkuu alipofungua Mkutano wa Nne wa  Mfuko wa PSPF mjini Dodoma  Februari 18, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF, George Yambesi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima, na  Waziri wa Kazi  na Ajira, Gaudencia Kabaka.(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu).

PG4A1196

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizindua  Fao la uzazi la Mfuko wa PSPF wakati alipofungua mkutano wa nne wa PSPF kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari 18, 2015. Kulia ni Waziri wa Kazi na Ajira Gaudencia Kabaka na watatu kulia ni Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Maingu na wanne kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF, George Yambesi.

PG4A1295

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na watumishi  wa Benki ya NMB waliokuwa wakionyesha  shughuli mbalimbali za Benki hiyo kwa washiriki wa Mkutano wa Nne wa PSPF uliofanyika kwenye  Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari 18, 2015.

PG4A1136

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Nne wa PSPF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo cha Mkutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari  18, 2015.

PG4A1138

PG4A1310

Wasanii wa kikundi cha Mchoya cha Dodoma wakitumbuiza katika mkutano wa Nne wa Mfuko wa  PSPF uliofunguliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari 18, 2015.

PG4A1271

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiki wa mkutano wa nne wa mfuko wa PSPF alioufungua kwenye Kituo cha Mikutno cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari 18, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles