Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda -Dodoma

$
0
0

PG4A0441

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na wafugaji kutoka Morogoro, Ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma Februari 7, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PG4A0468
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mawaziri   baada ya kusoma hotuba yake ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Februari 7, 2015. Kutoka kushoto ni  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid na Waziri wa Fedha Sada Mkuya. 
PG4A0475
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Februari 7, 2015,
PG4A0505
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafugaji kutoka Morogoro kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0536
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda  akizungumza na  baadhi ya wafugaji kutoka Morogoro kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0650
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozinuda Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK)  kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0654
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuzindua Mpango wa Serikali wa Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK)  kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0661
PG4A0667
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  baada ya kuzindua Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK)  kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015. Katikati ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anna Kilango.
PG4A0679
Baadhi ya Wabunge walioshiriki katika uzinduzi wa Mpango wa Serikali wa Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK) uliofanywa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0697
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikabidhi nakala ya Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK) Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anna Kilango.
PG4A0598
Wanafunzi wa shule za Msingi za Dodoma wakiimba wakati Waziri Mkuu, MIzengo Pinda alipozindua  Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK) kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0730
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wototo baada ya kuzindua Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK)  kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015.
PG4A0561
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu Juliana Nyambo wa Chuo cha Ualimu cha Korogwe katika maonyesho ya zana mbalimbali za kufundishia kabla ya kuzindua Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK) katika shughuli ilifanyika kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majliwa, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anna Kilango na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Fatma Ally.
PG4A0567
PG4A0777

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa (kushoto),Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anna Kilango (wapili kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Fatma Ally (kulia) baada ya kuzindua  Mpango wa Serikali wa   Kukuza Stadi za  Kusoma, Kuandika na  Kuhesabu (KKK) katika shughuli ilifanyika kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma Februari 7, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles