Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

JK awasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM

$
0
0

PG4A2427

Rais Jakaya Kikwete akialimiana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa Ndege wa Dodoma kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM August 19, 2014. Kushoto ni Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM, Adam Kimbisa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu).

PG4A2500

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete  akifungua mkutano wa Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma August 19, 2014. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali  Mohamed Shein, Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Wapii kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles