Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Jaji Lewis Makame afariki dunia

$
0
0

MAKAME

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Lewis Makame, amefariki dunia katika hospitali ya AMI  Jijini Dar es Salaam.

Taarifa za kuugua na kulazwa kwake, zilianza Mwezi uliopita, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete alimtembelea hospitalini.

Picha, Rais Kikwete alipofika kumjulia hali Hayati Lewis Makame, Julai 27 mwaka huu Jijini Dar.

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles