Kaimu Katibu Mkuu wa baraza la Taifa la Mitihani, Dk. Charles E. Msonde akisoma matokeo hayo ya mitihani ya Ualimu kwa mitihani iliyofanyika mwaka huu nchini kote.
Matokeo ya Mitihani ya Mei 2014 yanapatikana katika Tovuti zifuatazo:
www.matokeo.necta.go.tz, www.necta.go.tz au www.moe.go.tz na www.pmoralg.go.tz