Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Waziri Mkuu Pinda atembelea shamba la Philemon Luhanjo na kuweka jiwe la msingi kiwanda cha kusindika Mananasi mkoani Njombe.

$
0
0

IMG_0275

 

Mke wa Waziri  Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na wanawake wa Makambako baada ya kuwasili kwenye  mji mdogo huo akiambatana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai 10,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

IMG_0313

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu  (wapili kulia) wakikagua shamba la nanasi la Katibu Mkuu kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo (kulia) katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako wakiwa katika ziara ya Mkoa wa Njombe.

IMG_0336

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakikagua shamba la nanasi la Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo (kulia) katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako wakiwa katika ziara ya Mkoa wa Njombe.

IMG_0352

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akivuna nanasi katika shamba la Katibu Mkuu Mstaafu, Philemon Luhanjo  (katikati) lililopo  katika kijiji cha  Madeke wilayani Makambako akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai 10,2013. Kulia kwake ni mkewe Tunu.

IMG_0364

IMG_0415

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka  jiwe la  msingi la kiwanda cha kusindika mananasi katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako akiwa  katika ziara ya mkoa wa Njombe. Kulia ni Mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles