Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Semina ya uhabarisho wa shughuli za mamlaka ya usimamizi wa sekta ya hifadhi ya jamii katika picha.

$
0
0

pic 4Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,akifungua semina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA).wa kwanza kushoto ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassani. na kulia ni mjumbe wa menejimenti na mkuu wa ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo.

pic5Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya hifadhi ya jamii (SSRA),Emmanuel Urembo akitoa mada yake ya uhabarisho juu wa SSRA kwa wadau wa mkoa wa Singida jana (12/5/2014).Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi na katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakifuatilia.

pic6Baadhi ya wanasemina ya uhabarisho wa mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa mifuko ya hifadhi ya jamii (SSRA) iliyofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa mkuu wa mkoa wa Singida mjini hapa.

pic7Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,(wa tatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanasemina ya uhabarisho juu ya shughuli za mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa sekta ya bhifadhi ya jamii (SSRA) iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Singida mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni Mjumbe wa menejimenti na ununuzi wa SSRA,Emmanuel Urembo na anayefuatia ni katibu tawala mkoa wa Singida.

 

 

pic8

Bango la mamlaka ya usimamizi na uthibiti wa mifuko ya hifadhi ya jamii (SSRA).Picha zote na Nathaniel Limu.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Trending Articles