Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi Mteule wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida (kushoto) kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai. Watatu kushoto ni mkewe Tunu , Wanne kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Zanzibar, Mohamed Abood Mohamed na Kulia ni Naibu Waziri wa mambo ya Nje, Dr. Mahadh Maalim.
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto na Yoko Shima
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for WOrld Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Mutsako Setomoto.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa (WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako amefuatana na Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Mutsako Setomoto, Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Kazunori Arase.