Quantcast
Channel: Uncategorized – DEWJIBLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Multchoice yawapiga msasa wanahabari jijini Dar

$
0
0

CNN wakishirikiana na multichoice wafungua semina kwa waandishi wa habari juu ya nini kifanyike ili waandishi wa habari kutoka Tanzani waweze kufanya vizuri katika tuzo za mwandishi bora wa Africa tuzo ambazo mwaka huu zitafanyika Tanzania. Semina hiyo imefanyika jana katika hoteli ya New Africa Hoteli jijini Dar es Salaam

Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini, Bw. Richard Mbamba ambaye ni mmoja kati wanahabari waliowahi kushinda tuzo za “CNN MultiChoice African Journalist of the Year 2008″  akisisitiza jambo wakati wa Semina ya simu moja kwa wanahabari wa Tanzania juu ya namna wanavyopaswa kufanya kazi zao,iliyofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam. Semina hiyo imekuja ikiwa ni siku moja kabla ya kufanyika wa shughuli ya utoaji tuzo hizo za “CNN MultiChoice African Journalist of the Year 2014″ itakayofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City,jijini Dar es Salaam Oktoba 18.

Sehemu ya wanahabari waliohudhulia Semina hiyo wakifatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa toka kwa baadhi ya wanahabari nguli barani Afrika walioongoza semina hiyo.
 
Mhariri wa Gazeti ya Citizen la hapa nchini, Bw. Richard Mbamba akiendelea kutoa somo kwa wanahabari.
MMGM1327
Mhariri wa Gazeti la City Press la nchini Afrika Kusini, Ferial Haffajee akizungumza wakati wa Semina ya simu moja kwa wanahabari wa Tanzania juu ya namna wanavyopaswa kufanya kazi zao,iliyofanyika leo katika Hoteli ya New Afrika,jijini Dar es Salaam.
 
Mafunzo yakiendelea.
Mhariri wa Gazeti la City Press la nchini Afrika Kusini, Ferial Haffajee  akiendelea kutoa mada.
Meneja wa Iview akirekodi yanayojiri.
MMGM1512
Barbara Kambogi Toka DStv Tanzania akielezea jambo kwenye warsha hiyo.
Baadhi ya Wanahabari wa Tanzania wakiuliza maswali kwa wahariri hao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 5755

Latest Images

Trending Articles



Latest Images